Saturday

Kaseja alonga: Hawanifungi Leo




EDO KUMWEMBE, ABDIDJAN 
KIPA namba moja wa Taifa Stars, Juma Kaseja, ambaye pia ni nahodha wa timu hiyo, amesema wachezaji wa Taifa Stars wakitulia tu katika pambano la leo Jumamosi dhidi ya Tembo wa Ivory Coast, basi hawezi kuruhusu bao. 

Akizungumza katika hoteli ya Ibis Plateau jijini hapa, Kaseja, anayeonekana kuipania mechi hiyo alisema mara nyingi kinachosababisha timu za Tanzania kufungwa mabao ya haraka haraka na timu za nje ni kutokana na kutotulia kwa wachezaji wake mechi inapoanza. 
Nakwambia kaka kama wachezaji wetu wakitulia tu, hao akina Gervinho hawanifungi. Tatizo letu kubwa wakati mwingine ni kukosa utulivu. Nawaomba wachezaji wetu watulie tucheze mpira. Hakuna la ajabu sana litakalotokea kama tukitulia. Tatizo letu kubwa ni papara tu, aliongeza Kaseja.

Kaseja ambaye amecheza mechi kama hizi kwa muda mrefu tangu mwaka 2000 alipojiunga na Simba ya jijini akitokea Moro United ya Morogoro alikiri kwamba Ivory Coast ni maji mazito japo hawana hofu na timu hiyo. 


Kaka wao wapo 11 na sisi tupo 11, tunawaheshimu kwa sababu wanacheza timu kubwa barani Ulaya, lakini mimi nikitazama kikosi chetu naona tupo sawa. Tuna uwezo wa kufanya maajabu, alisema Kaseja.

LEO KATIKA MAHUSIANO: Wanawake wanapenda kudanganywa

KAMA ilivyo ada tumekutana tena ili kujuzana machache kuhusiana na maisha yetu ya kila siku. Nina imani kichwa cha makala kitakushtua, hasa wanawake. Siku zote kona hii imekuwa ikifanya uchunguzi wa kina na majibu yake huwa hayana shaka kwa jamii.
Kona hii imekuwa ikisisitiza umuhimu wa ukweli na uwazi katika mapenzi ambapo huwafanya wapenzi waondoe wasiwasi kwa wenza wao kutokana na kuwajua kiundani.

Kwa nini wanapenda kudanganywa?
Siku zote kiumbe wa kike hupenda vitu vizuri, kwa mfano kumpata bwana mzuri mwenye fedha na uwezo wa kitandani, hakuna mwanamke anayependa kinyume na hayo niliyoyataja, yakikosekana ataendelea kutafuta mtu sahihi atakayekubalika moyoni mwake.
Tupo pamoja? Najua unaweza ukajiuliza mbona wewe haupo hivyo na hata mpenzi wako hana kipato, pia hata maneno yake yamejaa maudhi lakini bado upo naye!
Siku zote utafiti wa jambo fulani unaweza ukafanywa na watu 10. Kama kuna wanawake 10, sita kati yao wakapenda kufanya kitu fulani wakati wengine wanne nao wakaegemea upande wa pili, wale sita ndiyo watatoa jibu la wanawake wengi wanapenda nini.
Katika uchunguzi wangu pamoja kuwasoma wanawake wengi ninapozungumza nao, nimegundua vitu hivi:
Vitu gani?
Kama nilivyosema awali mwanamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya kupamba dunia, hivyo kinapenda raha, shida ikitokea huwa bahati mbaya, sawa na kumfunga mbuzi mnyororo.
Tumeshuhudia wanaume wengi wa ukweli wakikimbiwa na wanawake baada tu ya kuonekana hawana vigezo, hasa uwezo wa kimaisha.
Pia tumeshuhudia wanawake wakiingizwa mkenge kutokana na kukutana na wanaume matapeli wa mapenzi kwa kujikweza wana fedha au nyadhifa kubwa serikalini. Hapo mwanamke huingia kichwakichwa na kuachwa solemba baada ya mhusika kukidhi haja zake za kimwili.
Tabia hii imewafundisha nini wanaume?
Tabia ya baadhi ya wanawake ambao ni asilimia kubwa, kupenda vitu vizuri, imesababisha kila mwanaume kutengeneza uongo ili ampate mwanamke fulani.
Wapo wanaoazima nguo, magari na hata vyumba, kwa kuhofia akienda alivyo, hawezi kukubaliwa. Kwa maana hiyo narudi tena kwenye kichwa cha habari kuwa wanawake wanapenda kudanganywa kuliko kuambiwa ukweli.
Madhara
yake nini?
Kutokana na watu wengi kuishi maisha ya maigizo ili wampate msichana, wasichana wengi huharibiwa ndoto zao za kuishi maisha mazuri na kuwa ‘vishata’.
Wengi wakishaujua ukweli kuwa mwanaume aliyenaye ni kula kulala, hana kazi, analala chumba cha watu watano, chumba alichotumia wakati wa kukutongoza ni cha rafiki yake, gari alilokuwa akitumia kukufuata pia la rafiki yake, husitisha mapenzi.
Inawezekana kabisa matangazo ya mwanaume mwongo yalisababisha hata kuachana na mpenzi wako mliyekuwa na malengo naye, wengine hufikia hatua ya kuvunja ndoa zao.
Nini cha kufanya?
Ni kweli kila kiumbe kinapenda maisha mazuri, lakini maisha hayo hayaji kwa lazima bali kwa kujituma, kuvumilia na kuikubali hali yoyote, si kutaka vizuri tu.
Penda ukweli na uwazi ili uingie kwenye penzi ukiwa unamjua kiundani mpenzi wako na kuamini ipo siku mtapata.
Usipende kuishi maisha ya mtu mwingine, acha tamaa, kama shoga yako kapata, subiri na wewe zamu yako, kwa vile Mungu si wa mmoja. Maskini naye ni mtu, msikilize ili kuepuka kulazimisha kudanganywa.
Kwa leo inatosha, tukutane wiki ijayo.

www.globalpulishers.info.

TANZANIAN GOVERMEMENT HAS SHOWERED PRAISE ON BASKETBALL ICON HASHEEM THABEET.











Deputy Minister for Education and Vocation Training Philip Mulugo acknowledged Thabeet’s outstanding achievement when launching a two-day youth basketball clinic at Don Bosco, Upanga, in Dar es Salaam today.
The Sprite sponsored clinic is being held under the tutelage of Thabeet and has attracted over 200 U-17 students from Mwanza, Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Zanzibar and Dar es Salaam.   
Mr. Mulugo has also called on education institutions to take sports programs seriously in a bid to produce best athletes that can compete and win medals for the countries at various international championships.
Speaking at the same occasion, Tanzania Basketball Federation (TBF) Vice Chairman Phares Magesa commended Thabeet for sparing his time to come back home to train and inspire the youngsters.
CREDIT MO-BLOG

JAMAA KUTOKA NIGERIA MWENYE WAKE 86


Niger State Governor, Dr Mu'azu Babangida Aliyu.

Niger State Governor, Dr Muazu Babangida Aliyu, has called on human rights and civil society groups in the country to rise to the defence of the wives of the man with 86 wives, Alhaji Abubakar Bello Masaba, saying they need deliverance. 
According to Aliyu who made this appeal in Minna Monday at the National Gender Dialogue Session in Niger state held at the Idris Legbo Kutigi International Conference Centre, marrying 86 wives is an abuse on the women.
"It is clear that these women need help and even if they are following the man willingly which we doubt, then they need deliverance and civil societies should advocate for them and protect them."

Friday

Facebook users suffer service disruptions


Facebook has suffered a series of service disruptions which left many people unable to use the social network.

The problems meant that the site was unreachable for some people for almost two hours.

Sporadic disruptions were reported by many people and even those who could get through said pages were taking a long time to load.

Facebook apologised but said it had fixed the problem.

Stock slide
News of problems getting at and using Facebook spread quickly as people took to Twitter, news sites and blogs to express their frustration.

"Facebook is acting like its stock. It keeps going down," quipped one Twitter user.

Website watching sites such as Downrightnow and Downforeveryoneorjustme reported that the site was intermittently available for a period of several hours.

In a statement, Facebook said some users "briefly experienced issues loading the site" but these had been resolved and it should be working fine for everyone. It gave no details about what had caused the problems.

Facebook has a reputation for reliability and the problems come at a sensitive time for the company. It is under intense scrutiny given the poor performance of its stock following its flotation on the Nasdaq stock exchange 18 May. The stock has fallen almost 23% since its debut.
BBC NEWS

Bondia wa kike,Lulu Kayege ajifua kwa ajili ya kuwakabiri wapinzani wake


Kocha wa Mchezo wa ngumi Kambi ya Ilala, Kondo Nassoro, akimfundisha bondia chipkizi wa kike, Lulu Kayege, wa Dar es salaam, kwa ajili ya kujiandaa na mashindano ya kumi bora yatakayofanyika june 15 katika ukumbi wa Panandi Ilala Bungoni jijini. Bondia huyo amesema kuwa anauhakika wa kuwachapa wapinzani wake watakaojitokeza kuomba 'Gem' na yeye kutokana na maandalizi kabambe na kujiamini katika mchezo huo. ''Nimekuja kuleta mabadiliko katika mchezo wa ngumi kwa upande wa wanawake kwani naupenda mchezo huu kutoka moyoni na naamini nitaweza kufanya vizuri kwani nimekuwa nikifuatilia sana mapambano ya wanawake wenzangu na kuona mapungufu yao ambayo mimi nitayatumia kama chalenge kwangu ili niweze kuwa tofauti ya wao'' alisema LULU. 
Bondia wa kike, Lulu Kayege, akiwa katika pozi  baada ya mazoezi makali ya maandalizi ya pambano lake. Bondia huyo ananolewa na kupewa ujuzi katika Kambi ya Ilala na Makocha wazoefu wa mchezo wa Masumbwi Nchini Habibu Kinyogoli 'Masta, Rajabu Mhamila 'Super D' na Kondo Nassoro kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya masindano mbalimbali nchini. 
Picha na Super Boxing Blog

MTOTO WA MIAKA 10 AKIRI KWAMBA HAWEZI PITISHA SIKU BILA YA KUFANYA MAPENZI


A 10-year old girl who was a victim of sexual abuse has made a shocking confession, saying that she cannot do without having sex with men daily.
She narrated how an old man, who was their neighbour at Mile 12, Lagos State, southwest Nigeria, lured her into sex at seven and since then she cannot resist having sex everyday.
The primary two pupil said if she did not see any man to have sex with her in her area, she would go to a popular under bridge at Mile 12 Lagos and beg for sex from touts.

She said she came from Enugu state to Lagos to live with her aunt after the death of her father.
Her case has become so serious that she had to be referred to an NGO, Community Health Support and Empowerment Initiative, COHSAEI, which has taken up the challenge to rehabilitate her.
The little girl said she was lured into sex by a man she called Baba who lived with her aunt in the same compound.
She said the man (Baba) usually called her to his apartment whenever his wife and her aunt were not around and will put his finger inside her private part.

“He will tell me to come back home immediately our school closes and when I reach home he will be waiting for me to finger my vagina,” she narrated.
She said with time he started having real sex with her.
She said when the man that initiated her into it moved out of their area, she resorted to meeting other men in the area without her aunt knowing.
She said she has become addicted to sex and cannot do without it.
“When I desire sex and I do not see anybody to do it in my area, I will go under the bridge and beg the touts to do it for me,” he said.
Her predicament came when she confessed to her teacher what she was going through after the teacher noticed some abnormal behaviour in her.
The teacher contacted her aunt who contacted an NGO for assistance.
The programme coordinator of the NGO, Mrs. Priscilla Ingbia, noted that her case was very pathetic because of her age. She said her group took up the challenge to rehabilitate her because it was clear if nothing was done urgently her future was in danger.
She said her organisation has started the process of rehabilitating her by carrying out series of tests on her to ascertain her health conditions.
Ingbia stressed the urgent need to relocate her from her present environment and start a new life for her.
She said her organisation has not been able to do so because of the financial cost of doing so.

Size 20 woman loses five-and-a-half stone to fit into size 8 dress on her wedding day after vowing her fiance would 'marry the woman he met'

 Unhealthy: Sarah Ward's weight ballooned after she met her future husband Chris. By the time he proposed, she had ballooned from a size 12 to a size 20. 'I thought I was happy with my size, but I was miserable,' she said

 Goal: Sarah, 30, was determined to slim down for her big day - and in the end, when they got married, Sarah was two sizes smaller than she was when she first started dating Chris 

New lease of life: 'I'd get up in the morning and be really depressed that I couldn't wear my fashionable clothes that didn't fit,' says Sarah. 'I'd always loved fashion but I just had a choice of different big black tents that I could wear'



LEO KATIKA MAHUSIANO: MPENZI WAKO AMEPOTEZA MSISIMKO KWAKO?


MSISIMKO ni jambo la msingi kwa walio kwenye uhusiano wa mapenzi. Ndiyo muongozo wa kihisia kwa wapenzi. Kwa maneno mengine kama mmoja akipoteza msisimko kwa mwenzake ni hatari kubwa sana inayoweza kugharimu uhusiano.
Ndiyo somo tunalojadili hapa katika Let’s Talk About Love ambapo leo ndiyo ninahitimisha. Kama kawaida ya kona hii nina imani kuna jambo kubwa utakaloondoka nalo. Hutakuwa kama ulivyoanza kusoma. Lazima kuna kitu utajifunza kichwani mwako.
Kama mtakumbuka, wiki iliyopita nilieleza kwamba, lazima uchunguze ujue kama ni kweli mwenzi wako amepoteza msisimko, lakini jambo kubwa zaidi ambalo nilisisitiza ni kwamba, mwenzi anapoteza msisimko kutokana na sababu nyingi, ikiwemo makosa/maudhi madogo au makubwa uliyoyafanya kwake.
UFAFANUZI
Yapo maudhi madogo madogo ambayo mtu anaweza kuwa hayapendi, lakini kwa sababu yanajirudia mara kwa mara yanazidisha chuki na hatimaye kupoteza msisiko kabisa.
Kuna maudhi/makosa makubwa ambayo mwenzi anaweza kuoenekana amesamehe lakini kumbe bado yanafukuta kwenye moyo wake. Haya mambo yapo marafiki zangu. Ni vyema kufuatilia ili kufahamu tatizo lilipo.
Yote kwa yote, hapa tunadili zaidi na suala la kupoteza msisimko ambalo sasa, kwa kuwa unaupenda uhusiano wako ni kazi yako kuhakikisha unamrudisha mwenzi wako katika hali yake ya kawaida. Wiki iliyopita nilishauri kuacha kabisa kulaumu badala yake kushughulikia tatizo husika.
Sasa twende tukaone zaidi juu ya mada hii ambayo naamini itawatoa wengi gizani.
ULIMI WAKO VIPI?
Kuna watu wengine wanashindwa kuelewa kwamba kauli chafu pekee inatosha kabisa kumuudhi mpenzi na akapoteza hisia za mapenzi kwa mwenzake. Majibu ya hovyo, kauli nyepesi ambazo hazina uungwana na heshima zinatosha kabisa kumkimbiza mpenzi wako.
Ufanye ulimi wako uwe mtamu, zungumza na mwenzako kwa mapenzi motomoto. Achana na kauli moto au zile zilizokosa mahaba. Jenga mapenzi kwa mwenzako, achana na mazoea.
Maana kuna wengine, kwa sababu ameshazaa, basi utasikia mama naniii, baba Joseph n.k. Achana na majina hayo, mwite kwa majina ya kimapenzi au jina lake halisi, utafaulu kudumisha hisia za mpenzi wako.
DHARAU NI MBAYA!!!
Hata kama mpenzi wako si mwerevu katika maeneo fulani, usimwoneshe dharau. Inawezekana ana udhaifu fulani katika mambo yake, hupaswi kumuonesha kwamba yeye si lolote. Jambo kubwa kwa mwenzi wa aina hiyo ni kumfundisha.
Yes! Kumpa ujuzi, maana umeshagundua kwamba ana udhaifu katika eneo fulani, mwoneshe njia. Mtu yeyote akigundua kwamba anadharauliwa, haonekani kama ana mchango katika jambo fulani, huchukia.
Ataanza kwanza kujichukia mwenyewe, halafu mwisho wake atamchukia mtu ambaye anamshusha thamani kwa kumdharau halafu hatma yake, atapoteza msisimko kwa mtu huyo. Akimuona tu, moyoni anajisikia huzuni. Hawezi kuwa na furaha kwa mtu ambaye anamdharau.
JENGA TABIA YA KUMSIFIA
Hakuna mtu ambaye hapendi kuonekana anaweza. Akijua anaonekana anaweza, hujiamini sana. Huu ndiyo ukweli ambao hakuna anayeweza kuukimbia. Hata wewe bila shaka unapenda kusifiwa kwamba unaweza kitu fulani.
Mmwagie sifa mpenzi wako, akivaa vizuri mwambie, akitengeneza nywele vizuri msifie...kifupi mfanye ajione kwamba yeye ni muhimu kwako. Atakapogundua kwamba yeye ni muhimu kwako, utakuwa umefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuteka hisia zake.
FARAGHA SASA...
Namna ya kuwasiliana faragha pia husababisha kupoteza au kuamsha hisia za mpenzi wako. Utakuta mwingine anamwambia mpenzi wake bila woga, kwamba hawezi mapenzi, hilo ni kosa kubwa sana kwa wapenzi.
Ni sawa na kumtukana. Katika hali ya kawaida, ukimwambia mpenzi wako hawezi mapenzi, ni dhahiri utakuwa umekata moja kwa moja hisia zake. Hata mkikutana siku nyingine atakuwa hajiamini, atajiona anakwenda kukutana na mtu ambaye hawezi kumridhisha.
Kuliko kumsema, ni bora kumfundisha.
OMBA MSAMAHA 
Kuomba msamaha ni kiunganishi kikubwa cha mapenzi. Hapa sitazungumza sana, maana naamini kila mmoja anafahamu maana ya msamaha na wakati muafaka wa kuutumia. Usibaki na vitu moyoni, kama unajua kweli umemkosea mwenzako, haraka sana mwombe msamaha na muendelee na mambo mengine.
Kubaki na vinyongo husababisha hasira ya kudumu, ambayo mwisho wake hutafuna msisiko na hivyo kukosa furaha katika uhusiano wenu. 
Haya ni mambo ya msingi kabisa kwako kuyazingatia ili uweze kuwa bora na kuhakikisha msisimko kwa mwenzi wako unakuwa wa kudumu. Ndiyo nguzo ya penzi. Ahsanteni sana kwa kunisoma. Kwa hapa naweka kituo kikubwa. 
Wiki ijayo nitakuja na mada nyingine nzuri zaidi, SI YA KUKOSA!
NA GPL INFO

Hasheem Thabeet ahidi kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa kikapu shule ya sekondari ya Lord Baden Powell Memorial High School


Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Lord Baden Powell, Kanali Idd Kipingu akizungumza machache mbele ya wageni wake waliofika mapema leo shuleni hapo kwa ajili ya kuangalia namna ya kujenga uwanja wa mchezo wa mpira wa kikapu.
Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania, anayechezea timu ya Portland Trail Blazers ya Marekani kwenye Ligi ya NBA, Hasheem Thabeet akizungumza jambo mbele ya wanafunzi wa shule ya sekondari  ya Lord Baden Powell Memorial High School,wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa kiwanja cha mpira wa kikapu shuleni hapo mapema leo Bagamoyo,nje kidogo ya jiji la Dar,kulia ni Makamu wa Rais wa Shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania, Phares Magesa.Hasheem Thabeet ameahidi kuwajengea uwanja wa mpira wa kikapu shuleni hapo.  

US Embassy in Dar Es Salaam today hosted Hasheem Thabeet and TBF Vice President Phares Magesa who was accompanied by TBF Assistant Secretary General Michael Maluwe, TBF Treasurer Ms. Marry Mbaga.

The US Embassy thanked Hasheem for agreeing to conduct basketball clinics in Tanzania. During the event US Embassy in Dar donated 50 balls to be used at Under 17 basketball Clinic to be held in Arusha June 9-10, 2012.

Cultural Affairs Officer and first Secretary of the US Embassy in Dar Es Salaam Ms. Danna Banks handed over the balls to TBF Vice President Phares Magesa in the presence of NBA Player Hasheem Thabeet, Portland Trail Blazer Centre.

Also the US state department through US Embassy in Dar es Salaam has given a grant to support administrative cost of running the Arusha Clinic, the grant was signed today by Mr. Magesa and Ms. Banks at the Embassy.

The Arusha Clinic will be conducted by one of the very best US based coach details will be released later. After the event at the Embassy Hasheem and Mr. Magesa went to Lord Barden Powell High School in Bagamoyo.

Hasheem promised to support various school projects including building of modern basketball court for the school. On behalf of TBF we than Hasheem for this great initiative.Hasheem will tomorrow start his clinic for 200 kids from 6 regions to be held at Don Bosco grounds.

We call upon other organizations to join us in developing our youth through various programmes like youth clinics, basketball courts construction/refurbishment etc.

Thank you,

Phares Magesa
TBF Vice President.

REDD'S MISS MTWARA KUFANYIKA JUNI 2



Warembo watakaopanda jukwani kumtafuta Miss Mtwara 2012 Wakimsikiliza mkufunzi wao Isabela mpada (MISS RUVUMA 2006) siku ya jumamosi tarehe 2june katika ukumbi wa makonde beach.
Warembo watakaopanda jukwani kumtafuta Miss Mtwara 2012 Wakimsikiliza mkufunzi wao Isabela mpada (MISS RUVUMA 2006),Pamoja na muandaaji wa shindano Rajab Mchatta. siku ya jumamosi tarehe 2june katika ukumbi wa makonde beach
Warembo watakaopanda jukwani kumtafuta Miss Mtwara 2012 Wakimsikiliza mkufunzi wao Isabela mpada (MISS RUVUMA 2006),Pamoja na muandaaji wa shindano Rajab Mchatta. siku ya jumamosi tarehe 2 june katika ukumbi wa makonde beach.

Thursday

HOT NEWS: PICHA ZA iPHONE 5 ZA LIKI KABLA YA KUTANGAZWA KWA SIMU HIYO JUNI 11


It's coming! 9to5Mac has released this image, purported to be the iPhone 5. Features that can be spotted include a much larger screen, and a smaller dock connector
It's coming! 9to5Mac has released this image, purported to be the iPhone 5. Features that can be spotted include a much larger screen, and a smaller dock connector

leaked image gives us a first glimpse of the iPhone5 - and anyone who was waiting for a bigger screen may finally have their prayers answered.
Established Apple site 9to5Mac revealed a leaked image of what is claimed to be the iPhone5, and the site - which has a good record for reporting accurate leaks from Apple - has a plethora of details about the new model.
For the first time, the iPhone shakes off the 3.5inch screen-size, bowing to the latest generation of Android smartphones, which over the course of the last two years have shifted the typical screen from  three-to up to four or even five inches.
With Apple's Worldwide Developers Conference due in San Fransisco on Monday, June 11, iPhone fans are hoping to get either a glimpse or a confirmed release date in just a few weeks.


MTOTO AZALIWA NA VIDOLE 12 VYA MIGUUNI


'Gift': Deirdra Malone, of Memphis, Tennessee gave birth two months ago to a boy named Bobby Jr who has an extra toe on each foot
'Gift': Deirdra Malone, of Memphis, Tennessee gave birth two months ago to a boy named Bobby Jr who has an extra toe on each foot
'Healthy': The boy's six toes on each foot won't have to be removed for his case of polydictal because all the digits are fully formed and in good condition
'Healthy': The boy's six toes on each foot won't have to be removed for his case of polydictal because all the digits are fully formed and in good condition

'Six?': Ms Malone (pictured) and hospital staff didn't notice the baby's extra digits until they made footprints and realized he had 12 toes
'Six?': Ms Malone (pictured) and hospital staff didn't notice the baby's extra digits until they made footprints and realized he had 12 toes

'12-toed baby': The boy's mother said his extra toes made him 'a gift' she hopes will make him a football player or track runner with his special digits
'12-toed baby': The boy's mother said his extra toes made him 'a gift' she hopes will make him a football player or track runner with his special digits
Daily Mail

SAJUKI AFANYIWA UPASUAJI.

Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ hospitalini.
Na Erick Evarist
HATIMAYE, staa wa filamu za Bongo, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ amefanyiwa upasuaji wa tumbo kufuatia matatizo yanayomsumbua, Amani limeambiwa na Wastara.
Akizungumza Jumatatu iliyopita kwa njia ya simu tokea Mumbai, nchini India alikolazwa mumewe, mke wa Sajuki, Wastara Juma alisema madaktari wamefanikisha upasuaji huo, lakini hali ya mgonjwa huyo ikawa mbaya ghafla.
Aliongeza kuwa kufuatia hali hiyo, maombi yanahitaji kwa Watanzania ili mumewe arejee katika hali inayotazamiwa na madaktari.
Hata hivyo, Jumanne iliyopita, Wastara alizungumza tena na mwandishi wetu ambapo alisema Mungu ni mkubwa, hali ya mumewe anatengemaa na ameanza kunyanyuka baada ya upasuaji huo.
“Hali imekuwa nzuri, sasa ananyanyuka si kama alivyotoka kwenye chumba cha upasuaji, lakini Watanzania wazidi kumwombea,” alisema mwanadada huyo.
Katika hali nyingine isiyokuwa ya kawaida, Wastara alisema akiwa hospitalini hapo, madaktari wameidaka kamera yake na kuiweka mapokezi wakimtuhumu kuitumia vibaya.
Walimwambia kuwa ni kosa kwa mtu kutumia kamera yake kupiga picha bila ridhaa ya utawala. Hata hivyo, msanii huyo alisema atarudishiwa kifaa chake hicho cha kuchukulia picha kwani alitoa barua kutoka Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’ inayoonesha yeye ni msanii wa muvi nchini.
Sajuki, yuko nchini humo akitibiwa matatizo ya vimbe tumboni. Aliondoka nchini katikati ya Mei, 2012 kwa ajili ya kufuata matibabu.
Kwa hisani ya Global Publishers

United States 1 Brazil 4: Super starlet Neymar turns on the style in Maryland

Neymar scored one goal and set up two more as Brazil warmed up for the Olympics by thumping the United States 4-1 in a friendly at Maryland's FedEx Field. 
The Americans went into the game on the back of five straight wins but they were behind early on when Neymar slotted home a penalty after Oguchi Oneywu handled in the box. 
Dancing boys: Neymar (2nd right) leads the celebrations after his goal
Dancing boys: Neymar (2nd right) leads the celebrations after his goal
Getting stuck in: Clint Demspey lets Neymar know he's in a game
Getting stuck in: Clint Demspey lets Neymar know he's in a game
Neymar then delivered the corner for Thiago Silva to head home before Herculez Gomez halved the deficit with a header on the stroke of half-time. 
Brazil keeper Rafael, making his debut, kept the Americans out with handful of fine saves after the break and breathed a sigh of relief when Oneywu's effort hit the crossbar. 
But Neymar, the 20-year-old Santos starlet, provided the pass for Marcelo to restore Brazil's two-goal cushion and substitute Alexandre Pato completed the rout three minutes from time. 
Cheers: Marcelo (No 6) hails Neymar for his assist to make it 3-1
Cheers: Marcelo (No 6) hails Neymar for his assist to make it 3-1
Consolation: Herculez Gomez (2nd right) delighted the home crowd with his goal
Consolation: Herculez Gomez (2nd right) delighted the home crowd with his goal

Source: Daily Mail

LEO KATIKA MAHUSIANO:WANAUME WANAOONGOZA KWA KUVUNJA NDOA ZA WATU

NDUGU zangu, katika maisha ya sasa kuna watu flani ambao ukiona wana ukaribu uliopitiliza kwa mke wako, jua kuna jambo nyuma ya pazia na ukishangaashangaa unaweza kujikuta unamegewa penzi lako hivihivi.
Hiki nitakachokielezea leo nimekifanyia uchunguzi wa muda mrefu na kwa wale waliokumbana na hali halisi ya mambo, watakubaliana nami kwa asilimia zote. Juzi nilipata bahati ya kusuluhisha ugomvi wa rafiki yangu ambaye yeye na mkewe ni wafanyabiashara.

Chanzo cha ugomvi wao ni daktari mmoja ambaye inaonekana kwa muda mrefu amekuwa ‘akiitafuna’ ndoa yao na siku hiyo ndiyo ule msemo wa za mwizi arobaini ulipotimia. Rafiki yangu huyo alinasa sms kutoka kwa dokta huyo akitaka wakutane na mkewe siku hiyo.
Bahati ni kwamba, mwanaume huyo alikuwa akimpenda sana mke wake na hata nilipomshauri amsamehe waanze ukurasa mpya, alinielewa.
Lakini wakati hilo likitokea, jana yake nilisoma habari ya mke wa mtu aliyefumaniwa na kijana mmoja ambaye ni muuza genge mtaani kwao. Aibu ilioje kwa mwanamke huyo! Hivi inakuwaje mpaka mke wa mtu ambaye mume wake anahangaika juani kutafuta noti kisha mkewe huku nyuma anatoa penzi kwa muuza genge kirahisi? Hii inauma sana!
Matukio hayo mawili yalinifanya nifikie hatua ya kuandika makala haya juu ya watu wanaongoza kwa kusambaratisha ndoa za watu.
Muuza genge
Kuna tabia ambayo baadhi ya wanawake walio katika ndoa wanayo ya kubana matumizi yao ya kila siku kwa lengo la kuweka fedha za kufanyia mambo mengine baadaye.
Katika mazingira hayo wapo wanaojiweka karibu sana na watu hao wakiamini watapewa vitu vya bure kama vile nyanya, vitunguu nk. Wanawake wa sampuli hii wakikutana na wauza genge viwembe hawawezi kupona na ndiyo maana mwanaume anashauriwa kuwa makini sana na wauza magenge.
Mwalimu
Hapa nazungumzia zaidi walimu wa vyuoni. Baadhi yao wamekuwa wakiwarubuni wanawake kwa kuwaahidi kuwafaulisha kwenye mitihani na wamekuwa wakiwatishia kuwafelisha endapo watawachomolea. Hilo limekuwa likiwafanya baadhi ya wanawake wasio na msimamo kuwa tayari kwa lolote ili mradi wafaulu.
Dereva bajaji, teksi
Nani asiyejua kuwa baadhi yao wanaongoza kwa ukware? Kwa kifupi hawa ni miongoni mwa watu ambao mwanaume hatakiwi kukubali ukaribu uliopitiliza kwa wake zao kwani historia inaonesha wengi wao wamekuwa wepesi wa kuomba penzi hasa mazoea yanapovuka mipaka.
Muuza duka
Mama mmoja ambaye mume wake anafanya biashara za kusafiri mikoani alinaswa na mpangaji ambaye kwenye nyumba anayoishi mwanaume huyo ana duka. Baada ya tukio hilo ilibainika mama huyo alikuwa na tabia ya kuchukua vitu dukani hapo na siku hiyo alipotakiwa kulipa alimwambia kimasihara kuwa, yeye hana fedha kama vipi wamalizane kwa njia nyingine.
Kama mwanamke huyu alivyosema, wapo wake za watu ambao wamekuwa wakijirahisi sana kwa wauza duka wakijua itakuwa rahisi kwao kuambulia vitu vidogodogo na fedha. Kwa maana hiyo mkeo si wa kumruhusu kuwa na uhusiano wa karibu sana na wauza duka.
Mganga wa kienyeji
Wapo waganga wa kienyeji ambao ni wasanii tu. Katika hawa wanaodaiwa kuwa wasumbufu kwa wake za watu ni wale wanaojidai kutibu magonjwa ya kinamama.
Itaendelea wiki ijayo.

www.globalpublishers.info

Afande Sele atoa ujumbe wa mabadiliko



Tangu mfalme wa rhymes Afande Sele atangaze kuwania ubunge mwaka 2015, amekuwa akiitumia sana Facebook kutoa ujumbe maridhawa wa mabadiliko.
Alhamis hii rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Seleman Msindi amewashauri wazazi kuwajengea watoto wao msingi wa mapema kuhusu chanzo cha umaskini nchini.
“Tujenge misingi mpaka kwa watoto wetu kuwa umasikini tulionao, unaletwa na wachache!! Na hatutaki wala hatupendi kuona wao wakiwa na maisha mabovu, ndio maana namuonyesha njia sahihi, ili wakati wake ukifika asihadaike”, ameandika Afande.
Katika ujumbe huo Afande pia amesema, “kuna wakati maamuzi madogo sana yanaweza badilisha maisha yetu daima!! Hakuna ubaya kuhitaji mabadiliko, kama yatakua katika njia sahihi.”
Ni mrefu tangu msanii huyo mkongwe aliyetamba na ngoma kama ‘Darubini’ na ‘Mtazamo’ hajahit kwenye radio jambo ambalo limemfanya avitupie lawama baadhi ya vyombo vya habari kuwa vinauua muziki wa Tanzania kwa kupendelea wasanii wachache.

Wednesday

Kifo cha Steven Kanumba: Serikali yakabidhi rambirambi ya Shilingi Milioni 10


Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla akikabidhi kiasi cha shilingi milioni kumi kwa Mama wa marehemu Steven Kanumba ikiwa ni rambirambi ya Serikali kwa familia. (Picha na Benjamn Sawe wa WHVUM)

Facebook founder and CEO Mark Zuckerberg Akiwa anakula maraha na mkewe Priscilla Chan

High Tide: The couple rented the entire boat, which can fit up to 12 people and can travel up to 45mph, according to company Amalfi Tours
High Tide: The couple rented the entire boat, which can fit up to 12 people and can travel up to 45mph, according to company Amalfi Tours
Seaside: The first couple of Facebook has finally put their billions to good use during their honeymoon
Seaside: The first couple of Facebook has finally put their billions to good use during their honeymoon
boat

Plane Jane: He wore plane Adidas sandals and she traipsed alongside him in sneakers as the two boarded a Pershing 37 luxury vessel to view the coastline in all its glory
Plain Jane: He wore plane Adidas sandals and she traipsed alongside him in sneakers as the two boarded a Pershing 37 luxury vessel to view the coastline in all its glory
Adventure: Mark Zuckerberg has treated his new wife Priscilla Chan to a cruise around Italy's Amalfi Coast after spending two days exploring Rome
Adventure: Mark Zuckerberg has treated his new wife Priscilla Chan to a cruise around Italy's Amalfi Coast after spending two days exploring Rome

Receipt: He may have billions in the bank, but the Facebook CEO shared a bargain meal with his wife
Receipt: He may have billions in the bank, but the Facebook CEO shared a bargain meal with his wife



Source Daily Mail